Habari zote za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani..
Airtel
Twanga kotekote
Friday, July 26, 2019
Rais MAGUFULI aiagiza Wizara ya Fedha kifanya Uchunguzi, ni kuhusu Mabilioni ya TAZARA
Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kuchunguza matumizi ya Tsh Bilioni 15 na Milioni 300 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kugharamia matumizi ya TAZARA
No comments:
Post a Comment