Airtel

Airtel
Twanga kotekote

Friday, July 26, 2019

Rais MAGUFULI aiagiza Wizara ya Fedha kifanya Uchunguzi, ni kuhusu Mabilioni ya TAZARA


Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kuchunguza matumizi ya Tsh Bilioni 15 na Milioni 300 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kugharamia matumizi ya TAZARA 

No comments:

Post a Comment