Airtel

Airtel
Twanga kotekote

Tuesday, July 23, 2019

Uzinduzi Kituo cha Mabasi, Rc Hapi atema CHECHE

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Ally Hapi akitoa hotuba mara baada ya kufanya uzinduzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi Mkoa wa Iringa kilichopo nje kidogo ya Manispaa ya Iringa. 

Pamoja na mambo mengine, Mhe. Hapi amemwagiza Mkurugenzi wa Manispaa Ndg Hamid Njovu kuvuta umiliki wa viwanja vyote vinavyozunguka Kituo hicho cha Mabasi Igumbilo mpaka pale Utaratibu mpya utakapofanyika. 

No comments:

Post a Comment