Dhahabu hii ilikamatwa Februari 15, 2018 katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta wakati Baraka Chaulo akiisafirisha kupitia Ndege ya Shirika la Precision Air
Aidha, tukio hili linahusisha pia makabidhiano ya fedha zilizoibwa NBC Tawi la Moshi mwaka 2004 zilizokamatwa nchini Kenya
Fedha hizo (Tsh. Milioni 170, Dola za Marekani 76,500 na Shilingi za Kenya 171,600) kama sehemu ya ushahidi zilikuwa zimehifadhiwa Kenya kwa wakati wote huo.


No comments:
Post a Comment