Kaimu Kocha Mkuu taifa stars, Ndayiragije Etienne amemteua mshambuliaji John Bocco kuwa nahodha wa timu ya Taifa kwa wachezaji wa ndani akisaidiwa na Juma Kaseja, Erasto Nyoni na Kelvin Yondan
Stars inajiandaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya jumapili July 28 uwanja wa Taifa.
No comments:
Post a Comment