Airtel

Airtel
Twanga kotekote

Friday, July 26, 2019

John Bocco ateuliwa NAHODHA timu ya Taifa


Kaimu Kocha Mkuu taifa stars, Ndayiragije Etienne amemteua mshambuliaji John Bocco kuwa nahodha wa timu ya Taifa kwa wachezaji wa ndani akisaidiwa na Juma Kaseja, Erasto Nyoni na Kelvin Yondan

Stars inajiandaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya jumapili July 28 uwanja wa Taifa. 

No comments:

Post a Comment