Serikali ya Nigeria imeingia makubaliano hayo ili kuhakikisha nchi inapata umeme wa uhakika ifikapo mwaka 2025
Mtendaji Mkuu wa Siemens, Joe Kaeser amemuahidi Rais Buhari kuwa miundombinu itakayojengwa na kampuni hiyo itazalisha Megawati 25,000 za umeme ifikapo mwaka 2025
Rais wa Nigeria, Mohammadu Buhari asema nishati ya umeme ni msingi wa maendeleo ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla

No comments:
Post a Comment